Msamiati wa Kazi

  1. dobi 
  2. hufanya kazi ya kuosha nguo
  3. karani : ( accountant ) 
    anayeangalia matumizi ya pesa katika benki au kampuni fulani
  4. katibu : ( secretary ) 
    anayeweka rekodi za mambo na orodha mbalimbali katika kampuni au idara fulani
  5. kungwi 
    hufunza vijana jandoni
  6. mchuhuzi : ( hawker ) 
    anayeuza bidhaa kutoka nyumba hadi nyumba
  7. mfinyanzi 
    hufinyanga udongo kutengeza vyombo kama vyungu, n.k
  8. mhandasi : ( engineer ) 
    anayefanya kazi ya kuunda au kurekebisha injini/mashine mbalimbali
  9. mhasibu : ( mathematician ) 
    mtu anayefanya kazi ya hesabu
  10. mhunzi 
    hufua vyuma
  11. mkatabi : ( librarian ) 
    anayeweka rekodi za vitabu katika maktaba, na kuwasaidia wanaotaka kuomba vitabu.
  12. tabibu : ( daktari, doctor ) 
    anayetibu watu
  13. topasi : (janitor ) 
    kazi ya kuosha vyoo
Powered by Blogger.