MICHAKATO YA KIMOFOLOJIA INAVYOTUMIKA KUUNDA MANENO KATIKA LUGHA YA KISWAHILI
Mu
+ china= mchina
Mu+
kulima = mkulima.
Pia
irabu āuā inapokalibiana na irabu inayofanana nayo hubaki kama ilivyo.Mfano
Muumba- muumba
Muumini-
muumuni
Muuguzi-
muuguzi
Mungwana-
muungwana
Muunguja-
muunguja.
Mchakato
wa uyeyushaji, kanuni hii hutokea pale irabu inapoandamana na nazali āmā na
pale inapokuwa yenyewe. Irabu āuā inapofuatiwa na mofimu inayoanza na irabu
inayofanana nayo hubakia jinsi ilivyo lakini inapofuatiwa na irabu isiyofanana
nayo wakati mwingine huweza kubakia kama ilivyo au huweza kugeuka na kuwa āwā
pia irabu āIā huathiriwa na kanuni hii mfano
Mi+
ake- myaka
Vi+
ake- vyake
Vi+
ao- vyao

Pia
katika kanuni hii neon likitamkwa kwa haraka uyeyushaji huweza kutokea. Mfano;




Katika
kanuni hii iwapo kuna namna mbili za utamkaji inaashiria kuwa katika mazingira
hayo kanuni ya uyeyushaji ni ya hiyari.
Machakato
wa muungano wa sauti, kanuni hii hutokea pale ambapo irabu ya mofimu moja
inapokabiliana na irabu ya mofimu nyingine irabu hizo mbili huungana na kuzoa
irabuy moja tu mfano
Wa+
ingi- wengi
Me
+ingi- mengi
Hapa
ina maana kuwa irabu āaā na irabu za mbele yaani āiā na āeā zinapokutana katika
mpaka wa mofimu huungana na kuzaa irabu moja tu āe; lakini kuna vigaili amabapo
hutokea inapokuwa mofimu inayoiandama ina minyambuliko. mfano
Wa+
igi+za+ ji - waigizaji
Wa+
oko+ a+ ji- waokoaji
Mchakato
wa nazali kuathiri konsonanti andamizi, katika kanuni hii baadhi ya sauti
ambazo huathiriwa na nazari inapokuwa sauti hizo zinazoindamia nazari hizo.
mfano.
n+
limi- {ndimi}
n+
refu- {ndefu}
Katika
mifano hii inaonekana kwamba sauti/ l/na/r/ zinapotanguliwa na nazari ānā
hugeuka na kuwa sauti/d/
Mchakato
wa konsonanti kuathiri nazali,katika lugha za kibantu umbo la nazali huathiriwa
na konsonanti inayoind amia. kwa mfano
Nguzo-
[inguzo]
Ngao-[
ingao ]
Katika
mifano hii konsonanti inayofuatia nazali ni āgā. konsonsanti hii hutamkiwa
nyuma kwenye kaakaa laini, kwa maelezo hayaā¦.. haitokei hivihivi
bali ni kutokana na kanuni hii maalumu ya lugha nyingi za kibantu ambazo ni
kanuni ya konsonanti kuathiri nazali.
Mchakato
wa ukaakaishaji wa fonimu, hutopkea wakati ambapo fonimu
zisizo za kaakaa gumu zionapobadilika na kuwa fonimu za kaakaa gumu. Katika
lugha ya kiswahili>>>>>>INAENDELEA>>>>>>