MICHAKATO YA KIMOFOLOJIA INAVYOTUMIKA KUUNDA MANENO KATIKA LUGHA YA KISWAHILI






Mu + china= mchina
Mu+ kulima = mkulima.
Pia irabu ‘u’ inapokalibiana na irabu inayofanana nayo hubaki kama ilivyo.Mfano
Muumba-  muumba
Muumini- muumuni
Muuguzi- muuguzi
Mungwana- muungwana
Muunguja- muunguja.
Mchakato wa uyeyushaji, kanuni hii hutokea pale irabu inapoandamana na nazali “m” na pale inapokuwa yenyewe. Irabu ‘u’ inapofuatiwa na mofimu inayoanza na irabu inayofanana nayo hubakia jinsi ilivyo lakini inapofuatiwa na irabu isiyofanana nayo wakati mwingine huweza kubakia kama ilivyo au huweza kugeuka na kuwa ‘w’ pia irabu ‘I’ huathiriwa na kanuni hii mfano
Mi+ ake- myaka
Vi+ ake- vyake
Vi+ ao- vyao
Vi+ akula          vyakula
Pia katika kanuni hii neon likitamkwa kwa haraka uyeyushaji huweza kutokea. Mfano;
Mu+e+nde+shaji          mwendeshaji
Mu+i+mba+ji              mwimbaji
Mu+ema                      mwema
Mu+eupe                     mweupe
Katika kanuni hii iwapo kuna namna mbili za utamkaji inaashiria kuwa katika mazingira hayo kanuni ya uyeyushaji ni ya hiyari.
Machakato wa muungano wa sauti, kanuni hii hutokea pale ambapo irabu ya mofimu moja inapokabiliana na irabu ya mofimu nyingine irabu hizo mbili huungana na kuzoa irabuy moja tu mfano
Wa+ ingi- wengi
Me +ingi- mengi
Hapa ina maana kuwa irabu ‘a’ na irabu za mbele yaani ‘i’ na ‘e’ zinapokutana katika mpaka wa mofimu huungana na kuzaa irabu moja tu ‘e; lakini kuna vigaili amabapo hutokea inapokuwa mofimu inayoiandama ina minyambuliko. mfano
Wa+ igi+za+ ji - waigizaji
Wa+ oko+ a+ ji-  waokoaji
Mchakato wa nazali kuathiri konsonanti andamizi, katika kanuni hii baadhi ya sauti ambazo huathiriwa na nazari inapokuwa sauti hizo zinazoindamia nazari hizo. mfano.
                        n+ limi- {ndimi}
n+ refu- {ndefu}
Katika mifano hii inaonekana kwamba sauti/ l/na/r/ zinapotanguliwa na nazari “n” hugeuka na kuwa sauti/d/
Mchakato wa konsonanti kuathiri nazali,katika lugha za kibantu umbo la nazali huathiriwa na konsonanti inayoind amia. kwa mfano
Nguzo- [inguzo]
Ngao-[ ingao ]
Katika mifano hii konsonanti inayofuatia nazali ni “g”. konsonsanti hii hutamkiwa nyuma  kwenye kaakaa laini, kwa maelezo haya….. haitokei hivihivi bali ni kutokana na kanuni hii maalumu ya lugha nyingi za kibantu ambazo ni kanuni ya konsonanti kuathiri nazali. 
Mchakato wa ukaakaishaji  wa fonimu,  hutopkea wakati ambapo fonimu zisizo za kaakaa gumu zionapobadilika na kuwa fonimu za kaakaa gumu. Katika lugha ya kiswahili
>>>>>>INAENDELEA>>>>>> 
Powered by Blogger.