MICHAKATO YA KIMOFOLOJIA INAVYOTUMIKA KUUNDA MANENO KATIKA LUGHA YA KISWAHILI







baada ya uchunguzi, kuwa labda hizi ni fonimu tofauti ambazo labda zina fanana kidogo kwa sababu zote zina unazali.
 Kwa ujumla, michakato inayotumika katika lugha ya kiswahili imesaidia sana katika uundaji wa maneno ili kufanikisha baadhi ya maneno kutamkwa baada ya kutoka umbo la ndani na kwenda umbo la nje ambalo hutokana na lugha mbalimbali za kibantu kutopkana na athari zitokanazo na utamkaji ndizo zimesababisha kutokea kwa kanuni mbalimbali ili kuweza kusababisha matashi na maumbo ya herufi mbalimbali hutamkiwa sehemu yake inayohusika.

 MAREJEO
 Tuki, (2004), kamusi ya Kiswahili sanifu. Oxford University press: Nairobi.
Mgulu, R..S (1999), Mtaala wa Isimu: Fonetiki, Fonolojia na Mofolojia ya Kiswahili. Longhorn Publishers Ltd: Nairobi.
Massamba, D.P.B (2001), Maendeleo Katika Nadharia ya Fonolojia. Taasi ya taaluma za Kiswahili (Tuki): Dar es salaam.
Habwe, J na peter, K (2004), Misingi ya Sarufi ya Kiswahili. Phoenix Publishers: Nairobi.
Massamba na wenzake, (2003), Sarufi Mauumbo ya Kiswahili Sanifu (SAMAKISA) Sekondari na vyuo. Taasisi ya uchungazi wa Kiswahili: chuo kikuu cha Dar- es – salaam.
Rubanza. Y. I (1999), Mofolojia ya Kiswahili, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania: Dar es Salaam.


Powered by Blogger.