Mke amfuma mumewe akijichua, Mke Azua Timbwili

Majira ya saa 6 usiku tukasikia purukushani kubwa nyumba ya jirani, mwana dada kachachamaa kwelikweli, tukaamua kujisogeza hapo maana unaweza shangaa kesho yake kuckia mmojawapo kachinjwa.

Kufika pale waungwana tukaanza jitihada za kushusha jazba za yule mdada na kumuomba atuelezee tatizo nini, ndipo dada wa watu akaanza kufunguka kwa hisia kali sana.

Huu sasa ni mwezi wa 3 mume wake hampi tendo la ndoa kwa kisingizio cha kwamba anaumwa UTI, akamvumilia tu lakini hajawahi hata siku moja kumuona anakunywa dawa za huo ugonjwa, pia walikuwa na utaratibu wa kuoga pamoja.


Lakini mwenzake akauvunja akawa anaoga peke yake tena anakaa muda mrefu sana bafuni, kama haitoshi akafanya na uzinduzi wa tabia nyingine mpya kabisa ya kuangalia hizi muvi za ngono hadi usiku wa manane,dada akaendelea kufunguka kuwa hilo wala halikumfanya amuhisi vibaya mwandani wake.

Za mwizi ni 40,Jana dada wa watu ameingia kulala, lakini akaja kustuka usiku mwingi anapapasa kitandani, hola mme wake hayupo.Mh! akashangaa akaamua atoke ili amuangalie labda pengine kapitiwa na usingizi pale sebuleni asije akaumwa na mbu akapata na Maralia maana anaamini eti anaumwa UTI.

Anafika sebuleni anamkuta jamaa yuko bize anautafuta mlima kitonga pembeni kuna kikopo cha mafuta yale mnayoyaita sijui k nini huko, jamani dada si ndio akalianza yowe hapo penye wengi hapaharibiki jambo, kulikuwa na wazee takribani watatu pale wakawachukua wale wana ndoa kuingia nao ndani kuanza utatuzi wa ile kesi.

Kilichonishangaza ni ule uzuri wa dada huyo, kama makalio anayo ya wastani huku pembeni zimechomoza hips za kiwango sura nzuri ya kuvutia na rangi yake ya weusi wa kung'aa, tabia njema kabisa sasa inakuwaje jamaa apige puli kwa kuvuta hisia za wazungu aliowaona kwenye mkanda.
Powered by Blogger.