Mafuriko yaleta balaa Mwanza Share bookmark Print Email Rating
Jumatano
Decemba 3, 2014
Decemba 3, 2014
Mafuriko yaleta balaa Mwanza
Askari wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji akishuka baada ya kumuokoa
mtoto eneo la Mabatini, jijini Mwanza lililokumbwa na mafuriko baada ya
Mto Mirongo kufurika kutokana na mvua iliyonyesha jana. Picha na Michael
Jamson
Na Waandishi Wetu, Mwananchi
Posted Jumatano,Decemba3 2014 saa 9:15 AM
Posted Jumatano,Decemba3 2014 saa 9:15 AM
Kwa ufupi
Mtendaji wa kata asema siyo makubwa kwa sababu hakuna mtu aliyefariki dunia.