LAHAJA ZA KISWAHILI

LAHAJA ZA KISWAHILI

                               LAHAJA NI NINI
  
    Huu ni uzungumzaji unaotumiwa na kikundi fulani cha watu katika eneo maalum .uzuzungumzaji huu hutofautiana na vikundi kama hivyo vinavyoishi kwenye sehemu nyingine.Tofauti hii inawekuwa ya kimofolojia ,msamiati au kifonolojia
 
                              LAHAJA HUZUKA VIPI
 
  Huzuka kutokana na vizuizi   vinavyo  tokana kati ya makundi yanayozungumza lugha moja .Chambers &trudgill (1980) alisema kuwa vizuizi hivi vinaweza kuwa vya kijamii au vya kijografia
Vya kijografia ni kama vile milima mito  nk .vya kijamii ni kama vile ni umbali kutoka jamii moja hadi nyingine hii inaweza kuathiri lugha yao ,ikiwa hakuna uhusiano wa kimawasiliano kati ya makundi hayo   .
    wanaelimu lahaja wanasema kuwa lugha inaweza kubadilika wakati ambapo inapokelezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine.baada ya muda mrefu kutakuweko na mabadiliko  katika sauti ,hapo basi msamiati mpya hutokea.kuna lahaja kuu za kiswahili kv.
(1)lahaja za kijamii
(2)lahaja za kijografia
Lahaja za kiswahili ni lahaja zakijiografia
mfano wa lahaja za kijamii ni lugha mpya kabisa ya sheng
 
                                                                 LAHAJA ZA KISWAHILI HUZUMZIWA WAPII
(1)pwani
(2)Visiwani
(3)Bara
 
                                           UANISHAJI WA   LAHAJA ZA KISWAHILI
Lahaja  za kiswahili zinapatikana pwani ya afrika mashariki, visiwa vya mafia lamu na ugunja.
 
 
LAHAJA ZA PWANI
 
 lahaja za kaskazini ni kv
         kitikuu/kibajuni huzungumziwa sehemu ya kismayu nchini somalia
 
         chimbalazi huzungumziwa  nchini somalia  katikati ya somalia na mogadishu
             MAREJELEO    ess TUKI (1990) kamusi sanihfuya isimu and lugha .dar es salaam:TUKI. MULIKA Na.13& Na 20 Dar es  salaam.       Weber, H .(1985) A dictionary  of phonetics and linguistics .Harlow longman
     Saussure,F. (1916) Course in general linguistics.New york: macGraw-Hill
     Sapir,E.(1921) LANGUAGE .New   york : Harcourt brace
     Steere ,E.(1950) Ahardbook for swahili  language. London : The sheldon press .
     Kapinga, C (1983) sarufi Maumbo ya kiswahili sanifu .Dar es salaam :TUKI
     Hartman, R. (1972) .Dictionary of language and linguistics .London: Applied science publisher
     Bloomfield, (1933) language.New york:Harit Rinehart.
      Mdee,j .(1967) kiswahili: muundo na matumizi yake.Nairobi: intercontinental publishers ltd.
     Mgullu, RS (1988) "Uhakiki wa makala ya Dhana za Mofu,alomofu na mofimu "katika mulika na 20 .dar  es salaam.
     Martinet,A (1973) morphonemics .New york.
     Aitchison ,j.(1981) language change, progress or decay. London:Fontana paperbacks.
     Ashton, (1947) swahili grammar .London:Longman.
     Crystal ,C.( 1971) Linguistics.Middlesex:Penguin.
     Abercrombie,D.(1965) studies in phonetics and linguistics.London:oxford university press
Powered by Blogger.