Uchaguzi Guinea:Alpha Conde aongoza
Matokeo ya duru ya
kwanza ya uchaguzi wa urais nchini Guinea yanaonyesha kuwa rais wa sasa
Alpha Conde ameshinda kura za kutosha kuzuia kuwepo duru ya pili ya
uchaguzi.
Uchaguzi huo ulifanyika licha ya janga la hivi majuzi la ugonjwa wa ebola ambalo liliwaua maelfu ya watu.
bbcswahili