CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA KITIVO CHA SANAA NA SAYANSI ZA JAMII OSW 122: HISTORIA YA KISWAHILI NA LAHAJA ZAKE JARIBIO KUU (MAALUMU

CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA
KITIVO CHA SANAA NA SAYANSI ZA JAMII
OSW 122: HISTORIA YA KISWAHILI NA LAHAJA ZAKE
JARIBIO KUU (MAALUMU)
TAREHE: 2Julai, 2012
MAELEZO
  • Jaribio hili lina sehemu A na B. 
  • Jibu maswali mawili (2) kwa kuchagua swali moja (1) kutoka kila sehemu
SEHEMU A: HISTORIA YA KISWAHILI
1. Kiswahili ni Kiarabu kwa jina lake lakini Ni Kibantu kwa sifa zake. Fafanua kauli         hii kwa kutumia hoja za kiisimu 
2. "Mafanikio ya ukuaji na ueneaji wa Kiswahili yanatafautiana kati ya nchi na nchi        miongoni mwa nchi tatu za Afrika Mashariki tokea enzi za ukoloni." Jadili sababu         zilizosababisha kutokea kwa tafauti hizo.
SEHEMU B: LAHAJA
3. Kwa kutumia mifano halisi toa maelezo mafupi juu ya dhana zifuatazo 
      (i) lugha
      (ii) lahaja jiografia
      (iii) Atlas lahaja
      (iv) lahaja jamii
4. Usanifishaji wa lahaja moja huua lahaja nyingine za lugha husika. Jadili                           ukihusisha na lugha ya Kiswahili 
Powered by Blogger.