Wanaume wa Dar es Salaam Katika Kashfa Nyingine Tena Baada ya ile ya Panya Road

Hadi mama mmoja jasiri alipo jitolea na kukishika kile kisu cha mvamizi hadi kikamkata vidole.Eti ndipo wanaume wakajitokeza.
Kweli jamani wanaume wa Dar! Hadi msaidiwe na kina mama!
Aibu iliyoje hii