JIPIME KIDATO CHA NNE

JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA
MTIHANI WA UTAMILIFU KIDATO CHA NNE
 021                                                  KISWAHILI
Muda: Saa 3
 _________________________________________________________________
Maelekezo
1.      Karatasihiiinasehemu A, B, C, D na E.
2.      Jibumaswaliyotekatikasehemu A, B na D, swalimoja (1) ​kutokasehemu C namaswalimatatu (3)​ kutokasehemu E. Swali la 15​ ni la lazima.
3.      Zingatiamaagizoyakilasehemu ​nayakilaswali​.
4.      Simuzamkononihaziruhusiwi ​katikachumba cha mtihani.
5.      AndikaNambayakoyaMtihani​ katikakilaukurasawakijitabuchako cha kujibia.

SEHEMU A (Alama 10)
Jibumaswaliyote​katikasehemuhii.
UFAHAMU
1. Soma kifungu cha habarikifuatachokishajibumaswaliyanayofuata:

KaribumasikioyawatuwamahalipengiyalijaahabarizaKaramanamashtakayake. Umaarufu wake waghaflaulizungumzwakaribunambali. Mtuyeyotewadesturianapozukakatikaumaarufu, huyavutamasikiona macho yawatuwengikwasababujambokamahilihutokeanadrasanakwawatuambaobahatimbayaimeshughulikakuwawekanyuma.

Kwahiyo, sikuyatatuyabarazailihudhuriwanamfalme, watuwenyevyeombalimbali, pamojananusumojayaumatimkubwawaKusadikika. Fikrazilizochanganyikaziliushikaumatihuu.BaadhiyawatuwalimwajabiaKaramawakamhesabukamamtu bora wakarneyao. HawawalitumainiataokokalakiniwenginewaliwazakuwaKaramaalikuwakamamjingaaliyekuwaakichezanahatarikubwailiyofunuatayambeleyake. Waliokuwawakimtazamiakuokokawalikuwanawasiwasiwao; na wale waliokuwawakimtazamiakuangukawalikuwanafadhaa​ yao. Walakinihapanamtuhatammojaaliyepatakulisemawazo lake. BilayakujuaalivyoajabiwaKaramaaliendeleakusemambeleyabaraza, “Watuwanaoteswandiowanaoyajuamatesoyao.”Kusadikikailikuwachiniyamatesomakubwasana. Maishayaoyalizungukwanamaradhinamauti, uaduiusiokwisha, nchiiliyokaribiakugeukajangwanamwambanamadhilamenginemazitoyaliyowakabiliwatu.

Wanakusadikikawalitakafarajakatikamatesohaya.Kilajitihadailijaribiwailikuirekebishasaayamaendeleoyanchi, lakinimarakwamaramajirayakeyalirudishwanyuma. Kama hilililifanywakwamakosaamakwamakusudinisiriiliyong’amboyafahamuzanguhatasasa. Lakinikamasirinjemahufichika, ileiliyombayahaifichikihatakidogo. Uchaguziwawajumbeulikuwakolakinimathibitishoyamatokeoyaujumbehayakupatikana. Kusadikikailiishikuonamjumbebaadayamjumbekuadhiriwa ​nakuadhibiwavibaya. Kama washaurihawakudhuriwanahililakiniwatuwenginewalidhuriwasana. Kazinjemazawajumbewawilizilipoteabure.Manung’unikoyalawamahiiyalikuwakatikahewayoteyaKusadikika.Hilililipotokeaserikaliiliombwaimafaimakufanyaujumbemwingine.BasimjumbewatatualitakikanaajitoleemwenyewekwaujumbewaKusini. Witowamjumbewatatuuliitikiwana Kabuli; mtumwenyebusara, hayanamcheshi. Yeyealipatikanaupesikabisakulikoilivyokuwakwamarayapilinaya kwanza. MisibayaBuruhaninaFadhiliilikuwamikubwayakutoshakuikongoamioyoyabidiikatikabawabazake.

Kabuli aliyajuahayayotelakinialikuwamtuwamoyowanamnanyinginekabisa. Alikuwanabidiikubwakamaileyasiafuathubutuyekukivukakijitokwadarajailiyofanywakwamaitiyasiafuwenginewalioeleamajinihukonahuko. Majiyalijulikanakuwanaasiliyarutuba, mvukenaumeme. Nguvunyinginezanamnambalimbalizipopiakatikamaji. Kama siafumdudumdogonakipofuwakatimwinginehaogopikuzikabilinguvuhizopamojanahatarizakekwasababunjema, basinidhahirikuwaviongoziwawanadamuwanapoteswaburebidiizawafuasiwaohutanukaajabu. Hapanatishioliwezalokuukomeshamwendohuu.Kwahakikautafululizakuwakodunianimpakamatesoyakomekabisa, nalabdawakatihuoduniahiiitakuwanjemakamaitamaniwavyokuwa. BuruhaninaFadhiliwalitoasadakazao bora ilikuyahimizamajilioyawakatiuliotakikanasana. Kabuli aliwaonawatuwawilihawakamawafadhiliwakubwawaulimwengu. Alitakakuwamshirikawaokwathamaniyoyoteyamaishayake. Kama ilijulikanavyo, Kusininaupandewaduniayatokakomatufanimakubwanabaridi kali sana. Kabuli aliyakabilimashakahayabilayakigeugeu​.Naam, alikuwakamamtualiyekuwaakinywauchungubilayakigegezi​.Mara mbilialikamatwaakafanywamahabusu.

Maswali
(a)    Elezamaanayamanenoyafuatayokamayalivyotumikakatikakifungu cha habari:
(i) Fadhaa
(ii) Madhila
(iii) Kuadhiriwa
(iv) Imafaima
 (v) Kigeugeu
(vi) Kigegezi.
(b)   ElezamchanganyikowafikirawalizonazowanawaKusadikikakuhusuKarama.
(c)    KwaninibidiiyamjumbewaKusiniimelinganishwanabidiiyasiafu? Toa sababumbili.
(d)   Ujumbewamwandishiwakifunguhikiunahusunini?
2. Fupishahabariuliyosomakatikaswali la kwanza kwamanenoyasiyopunguamiamoja
nahamsini (150) nayasiozidimiambili (200).
SEHEMU B (Alama 25)
SARUFI NA UTUMIZI WA LUGHA
Jibumaswaliyote​katikasehemuhii.
3. Fafanuautatauliopokatikasentensizifuatazo:
(a)    Mama anafurahiapango.
(b)   Mwalimuanalimabarabara.
(c)    Alimpigiangoma.
(d)   Kijanaamepatafomu.
(e)    Baba anaunda.
4. Tumianeno “Paa” katikasentensikuundadhanazifuatazo:
(a)    Nomino
(b)   Kitenzi
(c)    Kielezi
(d)   Kivumishi
(e)    Shamirisho
5. Bainishamziziwaasilikwakilanenokatikamanenoyafuatayo:
(a)    Anawaandikisha
(b)   Mkimbizi
(c)    Mlaji
(d)   Muumbaji
(e)    Nisingelipenda
(f)    Kuburudika
(g)   Sadifu
(h)   Aliokota
(i)     Walichopoka
(j)     Kipambanuliwe
6. Vibadilishevitenzivifuatavyoviwekatikakauliyakutendeka:
(a)    Badili
(b)   Kata
(c)    Komboa
(d)   Zuia
(e)    Fika
(f)    Zoa
(g)   Jenga
(h)   Remba
(i)     Tumia
(j)     Lima
7. Fafanuamaanayaneno “chenga” kwakutumiasentensitanotofauti.
SEHEMU C (Alama 10)
UANDISHI
Jibuswalimoja (1)​kutokasehemuhii.
8. Andikainshayenyemanenoyasiopunguamiambili (200) nayasiozidimiatatu (300) kuhusu
methaliisemayo “SamakiMkunjeangalimbichi”.
9. Wewenimwenyekitiwamtaaambaoumekumbwanamafurikolakiniwananchiwako
wanakataakuhamiamakazimapya. Andaahotubautakayoitoakwawananchiwamtaawakoili
kuwashawishikuondokakatikasehemuhiyo. Jina la mtaaniKwamachombonaeneo la
makazimapyalinaitwaKitivo.
SEHEMU D (Alama 10)
MAENDELEO YA KISWAHILI
Jibuswali la kumi (10)
10. Kwakutumiahojatano, fafanuajinsiutawalawaWaingerezaulivyoimarisha Kiswahili
nchini Tanzania kwakupitiamfumowaelimu.
SEHEMU E (Alama 45)
FASIHI KWA UJUMLA
Jibumaswalimatatu (3)​kutokakatikasehemuhii. Swali la 15 ​ni la lazima.
11. Kutokananamabadilikoyanayoikumbajamii, baadhiyamethalizimepitwanawakati.
Thibitishahojahiyokwakutumiamethalisita.
12. “Ustadiwamsaniihudhihirishwanafani”. Dhihirishakaulihiyokwakutumiavipengele
vitatuvyalughakwakiladiwanikutokakatikadiwanimbiliulizosoma.
13. Jadilikukubalikakwawahusikawawilikamakielelezohalisi cha wanajamiikatiya
Takadini, Maman’tiliena Brown Kwacha kutokakatikariwayambiliulizosoma. Toa hoja
tatukwakilamhusika.
14. “Kujengajamii bora nidhimayamwandishi.” Thibitishakaulihiikwakutumiahojatatutoka
katikakilatamhtiliyakatiyatamthiliyambiliulizosoma.
15. Tungahadithiyoyoteinayosadifukisasili.
ORODHA YA VITABU
Ushairi
Wasakatonge­-  M.S. Khatibu (DUP)
MalengaWapya­-  TAKILUKI (DUP)
MashairiyaChekacheka­ -T.A. Mvungi (EP & D.LTD)
Riwaya
Takadini­  - Ben J. Hanson (MBS)
WatotowaMaman’tilie­   -     E. Mbogo (H.P)
Joka la Mdimu­                 -    A.J.Safari (H.P.)
Tamthiliya
Orodha­                                                -   Steve Reynolds (MA)
NgoswePenziKitovu cha Uzembe­    -   E. Semzaba (ESC)
KilioChetu­-  Medical Aid Foundation (TPH) 







Powered by Blogger.