Showing posts with label MISEMO. Show all posts
Showing posts with label MISEMO. Show all posts

MISEMO YA KISWAHILI

May 09, 2018

Lenye mwanzo lina mwisho Msemo huu unamaanisha kuwa jambo lolote lililo na mwanzo lina mwiso. Msemo huu una maana sawa na hakuna ndefu ...

MISEMO YA KISWAHILI

May 09, 2018

Maji ya kifuu bahari ya chungu Msemo huu una maana kuwa jambo dogo unalolidharau wewe, wenzako linawatoa jasho. (maji ya nazi mdudu ...

MISEMO YA KISWAHILI

May 09, 2018

Maji! Ni kumbwe na kinyweo, matupu yasonga moyo Maana ya msemo huu ni kuwa, kunywa maji pekee bila ya kula chakula yaweza kusumbua tumb...

MISEMO YA KISWAHILI

May 09, 2018

          Kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa Msemo huu una maana kuwa unapewa sifa usizostahili. Msemo mwingine ulio na maana sawa ni ku...

MISEMO YA KISWAHILI

May 09, 2018

Ø   Misemo ni kauli fupifupi ambazo hutumiwa na jamii kusisitiza ukweli wa jambo fulani. Kauli hizi huunganisha mawazo au dhana tofauti kuw...

Powered by Blogger.